Skip to main content

Tanzania ya 120 ubora wa soka duniani , Misri yaongoza kwa Afrika




SHIRIKISHO la Kimataifa la Mpira wa Miguu ( Fifa) limetoa orodha mpya ya viwango vya ubora wa soka ambapo Brazil imekuwa kinara ikiishusha Ujerumani katika nafasi ya pili na Argentina imebakia katika nafasi ya tatu.
 Tanzania ipo nafasi ya 120 ikishuka kwa nafasi sita. Kwa Afrika nchi ya Misri ndiyo imekuwa ya juu kwenye orodha hiyo ikishika nafasi ya 25 ikiwa imeshuka kwa nafasi moja. Ifuatayo ni orodha kamili;

1 Brazil
2 Ujerumani
3 Argentina
4 Uswisi
5 Poland
6 Ureno
7 Chile
8 Colombia
9 Ubelgiji
10 Ufaransa
11 Hispania
12 Italia
13 England
14 Mexico
15 Peru
16 Croatia
17 Uruguay
19 Sweden
20 IIceland
21 Costa Rica
22 Slovakia
23 Ireland Kaskazini
24 Iran
25 Misri
26 Marekani
27 Ukraine
28 Congo DR
29 Jamhuri ya Ireland
30 Bosnia & Herzegovina
31 Senegal
32 Ecuador
33 Uturuki
34 Tunisia
35 Cameroon
36 Uholanzi
37 Austria
38 Ugiriki
38 Nigeria
40 Czech
40 Paraguay
42 Serbia68
42 Romania
44 Japan
45 Australia
46 Denmark
47 Burkina Faso
48 Algeria
49 Jamhuri ya Korea Republic
50 Ghana
51 Slovenia
52 Bulgaria
52 Montenegro1
54 Ivory Coast
55 Haiti
56 Hungary
57 Jamaica
58 Scotland
59 Saudi Arabia
60 Morocco
61 Panama
62 Russia
63 Albania
64 Uzbekistan
65 Mali
66 Africa
66 Guinea
68 Bolivia
69 Venezuela
70 Israel
71 Belarus
72 Armenia
73 Uganda
74 Famle za Kiarabu
75 Honduras
76 Sierra Leone
77 China PR
78 Qatar
79 Azerbaijan
80 Syria
81 Congo
82 Kenya
83 Trinidad& Tobago
83 Libya
85 Norway
86 Mauritania
86 Curaçao
88 Gabon
89 Faroe Islands
90 Madagascar
91 Benin
92 Guinea-Bissau
93 Palestine
94 Cyprus
95 Canada
96 Zambia
97 India
98 Estonia
99 Lithuania
100 Guatemala
101 Zimbabwe
102 Iraq
103 El Salvador
104 Msumbiji
105 Kazakhstan
106 Malawi
107 Suriname
108 Jordan
109 Nicaragua
110 Finland
110 Korea
112 Georgia
113 Togo
114 Cape Verde Islands
115 Antigua and Barbuda
116 Equatorial Guinea
116 Niger
118 Afrika ya Kati
119 Rwanda
120 Oman
***120 Tanzania
120 Ethiopia
123 New Zealand
124 Bahrain
125 St. Kitts and Nevis
125 Lebanon
127 Philippines
128 Kyrgyz Republic
129 Andorra
130 Thailand
131 Latvia
132 Burundi
133 Liberia
134 Vietnam
135 Macedonia
136 Luxembourg
136 Namibia
138 Angola
139 Swaziland
140 Botswana
141 Turkmenistan
142 Maldives
143 Comoros
143 Lesotho
145 New Caledonia
146 Hong Kong
146 Yemen
148 Sudan Kusini
148 Chinese Taipei
150 Tahiti
151 Tajikistan
152 Sudan
153 Chad
154 Puerto Rico
155 Solomon Islands
156 Afghanistan
157 Myanmar
158 Gambia
159 Moldova
160 Mauritius
161 Jamhuri ya Dominica
162 Grenada
163 Guyana
164 Papua New Guinea
165 Bhutan
166 Belize
166 Malaysia
168 Barbados
169 Nepal
169 St. Vincent and the Grenadines
171 Laos
171 Singapore
173 Aruba
174 Kuwait
175 Indonesia
176 Cambodia
177 Dominica
178 São Tomé e Príncipe
179 St. Lucia
180 KVXKosovo
181 FIJFiji
182 Cuba
183 Macau
184 Bermuda
185 Guam
186 American Samoa
186 Cook Islands
188 Brunei Darussalam
189 Bangladesh
190 Malta
190 Liechtenstein
192 Djibouti
192 Samoa
194 Seychelles
195 Vanuatu
196 Timor-Leste
197 Sri Lanka
198 Mongolia
199 US Virgin Islands
200 Pakistan
201 Montserrat
202 Turks and Caicos Islands
202 Cayman Islands
204 San Marino
205 British Virgin Islands
206 Anguilla
206 Bahamas
206 Eritrea
206 Gibraltar
206 Somalia
206 Tonga

Comments

Popular posts from this blog

Wachezaji waliosajiliwa na kuhama timu zote Ligi Kuu England

WAKATI dirisha la usajili Ulaya 2017 lililoanza Juni 9 lNdaniafungwa leo saa sita usiku, ifuatayo ni orodha ya wachezaji walioingia na kutoka katika timu 20 za Ligi Kuu England . Kama wewe ni shabiki wa moja ya timu hizo angalia orodha hii ujue wachezaji walioingia au kuondoka. ARSENAL Ndani Alexandre Lacazette - Lyon (ada haijatajwa), Sead Kolasac - Schalke(bure). Nje Wojciech Szczesny - Juventus, pauni 14m, Gabriel Paulista - Valencia, pauni 10m, Kieran Gibbs - West Brom, pauni 7m, Yaya Sanogo - ameachwa, Stefan O'Connor - ameachwa, Kristopher da Graca - ameachwa,Kostas Pileas - ameachwa, Takuma Asano - Stuttgart- mkopo Chris Willock - Benfica, (ada haijatajwa), Glen Kamara - ameachwa, Marc Bola - Bristol Rovers- mkopo Carl Jenkson - Birmgham- mkopo Cohen Bramall - Birmgham- mkopo Emiliano Martiez - Getafe-mkopo, Stephy Mavididi - Preston-mkopo, Ismael Bennacer - Empoli, (ada haijatajwa), Jon Toral - Hull, (ada haijatajwa). BOURNEMOUTH Ndani Asmir Begovic - Ch...

Zidane ajuta kumtwanga kichwa Materazzi

Picha mbili tofauti zinazomwonesha  Zinedine Zidane alipofanya tukio la kumpiga kichwa Marco Materazzi . MADRID, Hispania KOCHA wa timu ya  Real Madrid Zinedine Zidane amekumbuka tukio alilofanya kwa kumpiga kichwa aliyekuwa mlinzi wa timu ya taifa ya Italia,  Marco Materazzi katika kipindi chake cha mwisho cha uchezaji akisema kuwa hajisikii kujivuna kutokana na tukio hilo. Zidane alifanya tukio hilo wakati akiichezea Real Madrid, wakati akiitumikia Ufaransa katika mechi ya fainali ya kombe la Dunia 2006 ambayo iliisha kwa matokeo ya sare ya bao 1-1 kabla ya Azzuri kushinda kwa mikwaju ya penalti . Zidane ambaye alifanya mahojiano na kituo cha televisheni cha Ufaransa katika kipindi cha Telefoot na kuoneshwa kwenye runinga, alisema anajutia tukio hilo alilofanya katika siku za mwisho kama mchezaji. "Sijisikii kujivunia," Zidane alisema.  Zinedine Zidane akioneshwa kadi nyekundu kutokana na kumpiga kichwa  Marco Materazzi. "Sijivunii tuk...

Wazazi 'wamsusa' mpenzi wa Ronaldo mjamzito

Cristiano Ronaldo akiwa na Georgina Rodriguez na mtoto wao Ronaldo Jr MADRID, Hispania MPENZI wa Cristiano Ronaldo, Georgina Rodriguez anadaiwa kutengwa na wazazi wake. Mrembo huyo mwenye  umri wa miaka 23 anatarajia kujifungua mtoto wa kike Oktoba mwaka huu na kuongeza familia familia yake na Ronaldo inayokuwa kwa  haraka,  lakini kuna taarifa mama na baba yake hawajihusishi katika ujauzito huo. Kwa mujibu wa gazeti la Marca la Hispania, Rodriguez hamekuwan hana uhusiano mzuri na wazazi wake. Limeripoti kuwa kutokana na baba yeke Jorge Eduardo Rodriguez kuishi Argentina, na mama yake, Ana Maria Hernandez yuko nchini Italia, anamaliza kipindi chake cha ujauzito bila ya kupata sapoti. Mwanamitindo huyo mwenye damu mchanganyiko ya Kihispania na ki-Argentina mzaliwa wa Jaca kaskazini mashariki mwa Hispania, amebakia  katika nchi aliyozaliwa na sasa yuko na nyota wa Real Madrid ,anarajia kupata mtoto ambaye atakuwa wa nne kwa Ronaldo. Mtoto atakayemza...