Skip to main content

Mwanamitindo Mtanzania Hereith Paul apata dili la mamilioni

Hereith Paul

Mwandishi wetu
MWANAMITINDO wa Tanzania, Hereith Paul amepata shavu kwa kuchangulia kushiriki katika onesho la mitindo ya mavazi, Victoria’s Secret’s annual Fashion   yanayofanyika kila mwaka mara moja.
Hii ni mara ya pili kwa staa huyo mwenye umri wa miaka 21 anayeishi Marekani tangu alipokuwea mdogo kushiriki katika maonesho hayo ambayo washiriki wake hulipwa dau nono la fedha, mara ya kwanza mwak jana aliripotiwa kulipwa kiasi cha sh. bilioni moja.

Mbali ya maonesho hayo amewahi kushiriki maonesho mengine maarufu kama ya Diane von Furstenberg, Lacoste, Tom Ford, Calvin Klein, Armani, Cavalli  na 3.1 Phillip Lim.
Pia picha na habari zake zimewaji kutumia katika majarida ya mitindo ambao wanaobahatika kutumiwa hupata mkwanja wa maana.
Washiriki wamaonesho hayo wanagawanywa katika kategoria mbili ya Malaika na  Wanamitindo, hutoka nchi mbalimbali.
Washiriki 57 tayari wamethibitishwa kwa maonesho ya mwaka huu ni ambayo yatafanyika katikati ya Novemba ni; 
Katagoria ya Malaika
Adriana Lima,Alessandra Ambrosio,Behati Prinsloo,Candice Swanepoel,Lily Aldridge, Elsa Hosk,Jasmine Tookes,Martha Hunt,Lais Ribeiro,Sara Sampaio,Romee Strijd,Stella Maxwell,Taylor Hill,Josephine Skriver

Wanamitindo

Megan Williams,Sanne Vloet , Bruna LĂ­rio Dilone, Frida Aasen, Leila Nda, Devon Windsor, Victoria Lee, Vanessa Moody, Grace Elizabeth, Maggie Laine, Nadine Leopold, Leomie Anderson, Maria Borges, Daniela Braga, Gizele Oliveira, Aiden Curtis, Alexina Graham, Zuri Tibby na Julia Belyakova.

Wengine ni Estelle Chen, Grace Bol, Kate Grigorieva, Mayowa Nicholas, Amilna Estevao, Alanna Arrington, Barbara Fialho,  Megan Williams, Daria Khlystun, Alecia Morais, Georgia Fowler, Blanca Padilla , *Hereith Paul,  Roosmarijn De Kok, Frida Aasen, Sui He,Lui Wen, Lameka Fox, Xiao Wen Ju, Cindy Bruna, Irina Sharipova, Jourdana Phillips, Shu Pei, Samile Bermannelli, Xin Xie na Ming Xi.

Comments

Popular posts from this blog

Wachezaji waliosajiliwa na kuhama timu zote Ligi Kuu England

WAKATI dirisha la usajili Ulaya 2017 lililoanza Juni 9 lNdaniafungwa leo saa sita usiku, ifuatayo ni orodha ya wachezaji walioingia na kutoka katika timu 20 za Ligi Kuu England . Kama wewe ni shabiki wa moja ya timu hizo angalia orodha hii ujue wachezaji walioingia au kuondoka. ARSENAL Ndani Alexandre Lacazette - Lyon (ada haijatajwa), Sead Kolasac - Schalke(bure). Nje Wojciech Szczesny - Juventus, pauni 14m, Gabriel Paulista - Valencia, pauni 10m, Kieran Gibbs - West Brom, pauni 7m, Yaya Sanogo - ameachwa, Stefan O'Connor - ameachwa, Kristopher da Graca - ameachwa,Kostas Pileas - ameachwa, Takuma Asano - Stuttgart- mkopo Chris Willock - Benfica, (ada haijatajwa), Glen Kamara - ameachwa, Marc Bola - Bristol Rovers- mkopo Carl Jenkson - Birmgham- mkopo Cohen Bramall - Birmgham- mkopo Emiliano Martiez - Getafe-mkopo, Stephy Mavididi - Preston-mkopo, Ismael Bennacer - Empoli, (ada haijatajwa), Jon Toral - Hull, (ada haijatajwa). BOURNEMOUTH Ndani Asmir Begovic - Ch...

Zidane ajuta kumtwanga kichwa Materazzi

Picha mbili tofauti zinazomwonesha  Zinedine Zidane alipofanya tukio la kumpiga kichwa Marco Materazzi . MADRID, Hispania KOCHA wa timu ya  Real Madrid Zinedine Zidane amekumbuka tukio alilofanya kwa kumpiga kichwa aliyekuwa mlinzi wa timu ya taifa ya Italia,  Marco Materazzi katika kipindi chake cha mwisho cha uchezaji akisema kuwa hajisikii kujivuna kutokana na tukio hilo. Zidane alifanya tukio hilo wakati akiichezea Real Madrid, wakati akiitumikia Ufaransa katika mechi ya fainali ya kombe la Dunia 2006 ambayo iliisha kwa matokeo ya sare ya bao 1-1 kabla ya Azzuri kushinda kwa mikwaju ya penalti . Zidane ambaye alifanya mahojiano na kituo cha televisheni cha Ufaransa katika kipindi cha Telefoot na kuoneshwa kwenye runinga, alisema anajutia tukio hilo alilofanya katika siku za mwisho kama mchezaji. "Sijisikii kujivunia," Zidane alisema.  Zinedine Zidane akioneshwa kadi nyekundu kutokana na kumpiga kichwa  Marco Materazzi. "Sijivunii tuk...

Wazazi 'wamsusa' mpenzi wa Ronaldo mjamzito

Cristiano Ronaldo akiwa na Georgina Rodriguez na mtoto wao Ronaldo Jr MADRID, Hispania MPENZI wa Cristiano Ronaldo, Georgina Rodriguez anadaiwa kutengwa na wazazi wake. Mrembo huyo mwenye  umri wa miaka 23 anatarajia kujifungua mtoto wa kike Oktoba mwaka huu na kuongeza familia familia yake na Ronaldo inayokuwa kwa  haraka,  lakini kuna taarifa mama na baba yake hawajihusishi katika ujauzito huo. Kwa mujibu wa gazeti la Marca la Hispania, Rodriguez hamekuwan hana uhusiano mzuri na wazazi wake. Limeripoti kuwa kutokana na baba yeke Jorge Eduardo Rodriguez kuishi Argentina, na mama yake, Ana Maria Hernandez yuko nchini Italia, anamaliza kipindi chake cha ujauzito bila ya kupata sapoti. Mwanamitindo huyo mwenye damu mchanganyiko ya Kihispania na ki-Argentina mzaliwa wa Jaca kaskazini mashariki mwa Hispania, amebakia  katika nchi aliyozaliwa na sasa yuko na nyota wa Real Madrid ,anarajia kupata mtoto ambaye atakuwa wa nne kwa Ronaldo. Mtoto atakayemza...