Skip to main content

McGregor alaumu refa kumaliza pambano haraka


Floyd Mayweather  (kulia) akimtwanga ngumi Conor McGregor .

LAS VEGAS, Marekani
BONDIA Conor McGregor amemlaumu refa wa pambano lake dhidi ya Floyd Mayweather lililofanyika Usiku wa kuamkia Jumapili katika ukumbi wa  T-Mobile Arena Las Vegas, Marekani  kwa kulimaliza kutokana na kuona amezidiwa na badala yake angemwacha andelea kupigana kwa pamoja na kwamba alikuwa katika hali ya kulewa.

Katika mchezo huo, alishinda kwa TKO kutoka na mwamuzi kusimamisha pambano kumwokoa mpinzani wake huku akipata ushindi wa majaji 2-1 kwa alama 87-83, 89-82 na 89-81.

McGregor alisema:” Kuna mambo mengi kwenye mstari hapa. Refa angenicha mimi niendelee. Nilikuwa nimechoka kidogo.

“Nilikuwa kidogo nimelewa wakati nilipokuwa nimechoka, hivyo ndiyo maana ninafikiria refa angeacha niendelee na kuniacha niangushwe.

“Katika raundi mbili za mwisho angeniacha niende kwenye kona na kukwepa.”

McGregor alikiri kuwa asingeweza kuendelea kwenda sawa na Mayweather (40) ambaye alikuwaakipambana kutaka ashinde ili kuweka rekodi ya kushinda michezo 50 mfululizo.

Alisema: ''Hakuwa na kasi kubwa au kuwa na nguvu zaidi lakini alionesha kucheza vizuri. Ninatakwia kutoa heshima kwa uchezaji wake mzuri wa kipindi chote alichodunu kwenye mchezo,'' alisema na kuongeza alikuwa na furaha kidogo kwa kucheza mchezo huo.

Alisema katika raundi za mwanzo aliona kama alikuwa akimmudu mpinzani wake katika raundi za mwanzo na kuhishi kuwa angeweza kuendelea kipinsi cha katikati hasi mwisho.

Alisema pamoja na kupoteza pambano hilo anafurahi alibeba bendera ya nchi yake (Scotland) iliyokuwa ikimsapoti na kuwa na timu yake.

Comments

Popular posts from this blog

Wachezaji waliosajiliwa na kuhama timu zote Ligi Kuu England

WAKATI dirisha la usajili Ulaya 2017 lililoanza Juni 9 lNdaniafungwa leo saa sita usiku, ifuatayo ni orodha ya wachezaji walioingia na kutoka katika timu 20 za Ligi Kuu England . Kama wewe ni shabiki wa moja ya timu hizo angalia orodha hii ujue wachezaji walioingia au kuondoka. ARSENAL Ndani Alexandre Lacazette - Lyon (ada haijatajwa), Sead Kolasac - Schalke(bure). Nje Wojciech Szczesny - Juventus, pauni 14m, Gabriel Paulista - Valencia, pauni 10m, Kieran Gibbs - West Brom, pauni 7m, Yaya Sanogo - ameachwa, Stefan O'Connor - ameachwa, Kristopher da Graca - ameachwa,Kostas Pileas - ameachwa, Takuma Asano - Stuttgart- mkopo Chris Willock - Benfica, (ada haijatajwa), Glen Kamara - ameachwa, Marc Bola - Bristol Rovers- mkopo Carl Jenkson - Birmgham- mkopo Cohen Bramall - Birmgham- mkopo Emiliano Martiez - Getafe-mkopo, Stephy Mavididi - Preston-mkopo, Ismael Bennacer - Empoli, (ada haijatajwa), Jon Toral - Hull, (ada haijatajwa). BOURNEMOUTH Ndani Asmir Begovic - Ch...

Zidane ajuta kumtwanga kichwa Materazzi

Picha mbili tofauti zinazomwonesha  Zinedine Zidane alipofanya tukio la kumpiga kichwa Marco Materazzi . MADRID, Hispania KOCHA wa timu ya  Real Madrid Zinedine Zidane amekumbuka tukio alilofanya kwa kumpiga kichwa aliyekuwa mlinzi wa timu ya taifa ya Italia,  Marco Materazzi katika kipindi chake cha mwisho cha uchezaji akisema kuwa hajisikii kujivuna kutokana na tukio hilo. Zidane alifanya tukio hilo wakati akiichezea Real Madrid, wakati akiitumikia Ufaransa katika mechi ya fainali ya kombe la Dunia 2006 ambayo iliisha kwa matokeo ya sare ya bao 1-1 kabla ya Azzuri kushinda kwa mikwaju ya penalti . Zidane ambaye alifanya mahojiano na kituo cha televisheni cha Ufaransa katika kipindi cha Telefoot na kuoneshwa kwenye runinga, alisema anajutia tukio hilo alilofanya katika siku za mwisho kama mchezaji. "Sijisikii kujivunia," Zidane alisema.  Zinedine Zidane akioneshwa kadi nyekundu kutokana na kumpiga kichwa  Marco Materazzi. "Sijivunii tuk...

Wazazi 'wamsusa' mpenzi wa Ronaldo mjamzito

Cristiano Ronaldo akiwa na Georgina Rodriguez na mtoto wao Ronaldo Jr MADRID, Hispania MPENZI wa Cristiano Ronaldo, Georgina Rodriguez anadaiwa kutengwa na wazazi wake. Mrembo huyo mwenye  umri wa miaka 23 anatarajia kujifungua mtoto wa kike Oktoba mwaka huu na kuongeza familia familia yake na Ronaldo inayokuwa kwa  haraka,  lakini kuna taarifa mama na baba yake hawajihusishi katika ujauzito huo. Kwa mujibu wa gazeti la Marca la Hispania, Rodriguez hamekuwan hana uhusiano mzuri na wazazi wake. Limeripoti kuwa kutokana na baba yeke Jorge Eduardo Rodriguez kuishi Argentina, na mama yake, Ana Maria Hernandez yuko nchini Italia, anamaliza kipindi chake cha ujauzito bila ya kupata sapoti. Mwanamitindo huyo mwenye damu mchanganyiko ya Kihispania na ki-Argentina mzaliwa wa Jaca kaskazini mashariki mwa Hispania, amebakia  katika nchi aliyozaliwa na sasa yuko na nyota wa Real Madrid ,anarajia kupata mtoto ambaye atakuwa wa nne kwa Ronaldo. Mtoto atakayemza...