
Kutoka kushoto: Lionel Messi,Andres Iniesta na Cristiano Ronaldo
SHIRIKISHO la Kimataifa la Mpira wa Miguu (Fifa) limetoa orodha ya wanasoka 24 ambayo wanaoshindania tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka 2017.
Katika orodha hiyo yumo kiungo wa Barcelona, Andres Iniesta, jina ambalo halikutarajiwa akiwa ameanza kucheza katika mechi za La Liga 13 tu msimu uliopita, tatizo kubwa ikiwa ni umajeruhi.
Mtetezi wa tuzo hiyo Cristiano Ronaldo kama kawaida yumo pamoja na Lionel Messi na wachezaji wawili wa Juventus, Paulo Dybala na Gianluigi Buffon .
wachezaji wa Ligi Kuu England waliojumuishwa ni Alexis Sanchez, N’Golo Kante, Zlatan Ibrahimovic na Eden Hazard.
Katika otodha hiyo wamo wachezaji nyota wa zamani waliojumuishwa ambayo nao mmoja wao atapata tuzo akiwemo Diego Maradona, Cafu, Carles Puyol, Edwin van der Sar na Jay Jay Okocha.
Majina matatu ya mwisho kwa kila kundi yatatajwa kati ya Agosti 21 na Septemba 7 mwaka huu watakahusika kuchafua ni manahodha wa timu, mkocha na wawakilishi wa vyombo vya habari.
Orodha kamili ni kama ifuatavyo;
Emerick Aubameyang (Borussia Dortmund)
Leonardo Bonucci (AC Milan, Juventus 2016-17)
Gianluigi Buffon (Juventus)Dani Carvajal (Real Madrid)
Cristiano Ronaldo (Real Madrid)
Paulo Dybala (Juventus)
Antoine Griezmann (Atletico Madrid)
Eden Hazard (Chelsea)
Zlatan Ibrahimovic (Free agent, Manchester United kwa 2016-17)
Andres Iniesta (Barcelona)
Harry Kane (Tottenham)
N’Golo Kante (Chelsea)
Toni Kroos (Real Madrid)
Robert Lewandowski (Bayern Munich)
Marcelo (Real Madrid)
Lionel Messi (Barcelona)
Luka Modric (Real Madrid)
Keylor Navas (Real Madrid)
Manuel Neuer (Bayern Munich)
Neymar (Paris Saint-Germain, Barcelona kwa 2016-17)
Sergio Ramos (Real Madrid)
Alexis Sanchez (Arsenal)
Luis Suarez (Barcelona)
Arturo Vidal (Bayern Munich)
![]() |
| Kutoka kushoto: Lionel Messi,Andres Iniesta na Cristiano Ronaldo |
SHIRIKISHO la Kimataifa la Mpira wa Miguu (Fifa) limetoa orodha ya wanasoka 24 ambayo wanaoshindania tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka 2017.
Katika orodha hiyo yumo kiungo wa Barcelona, Andres Iniesta, jina ambalo halikutarajiwa akiwa ameanza kucheza katika mechi za La Liga 13 tu msimu uliopita, tatizo kubwa ikiwa ni umajeruhi.
Mtetezi wa tuzo hiyo Cristiano Ronaldo kama kawaida yumo pamoja na Lionel Messi na wachezaji wawili wa Juventus, Paulo Dybala na Gianluigi Buffon .
wachezaji wa Ligi Kuu England waliojumuishwa ni Alexis Sanchez, N’Golo Kante, Zlatan Ibrahimovic na Eden Hazard.
Katika otodha hiyo wamo wachezaji nyota wa zamani waliojumuishwa ambayo nao mmoja wao atapata tuzo akiwemo Diego Maradona, Cafu, Carles Puyol, Edwin van der Sar na Jay Jay Okocha.
Majina matatu ya mwisho kwa kila kundi yatatajwa kati ya Agosti 21 na Septemba 7 mwaka huu watakahusika kuchafua ni manahodha wa timu, mkocha na wawakilishi wa vyombo vya habari.
Orodha kamili ni kama ifuatavyo;
Orodha kamili ni kama ifuatavyo;
Emerick Aubameyang (Borussia Dortmund)
Leonardo Bonucci (AC Milan, Juventus 2016-17)
Gianluigi Buffon (Juventus)Dani Carvajal (Real Madrid)
Cristiano Ronaldo (Real Madrid)
Paulo Dybala (Juventus)
Antoine Griezmann (Atletico Madrid)
Eden Hazard (Chelsea)
Zlatan Ibrahimovic (Free agent, Manchester United kwa 2016-17)
Andres Iniesta (Barcelona)
Harry Kane (Tottenham)
N’Golo Kante (Chelsea)
Toni Kroos (Real Madrid)
Robert Lewandowski (Bayern Munich)
Marcelo (Real Madrid)
Lionel Messi (Barcelona)
Luka Modric (Real Madrid)
Keylor Navas (Real Madrid)
Manuel Neuer (Bayern Munich)
Neymar (Paris Saint-Germain, Barcelona kwa 2016-17)
Sergio Ramos (Real Madrid)
Alexis Sanchez (Arsenal)
Luis Suarez (Barcelona)
Arturo Vidal (Bayern Munich)
Paulo Dybala (Juventus)
Antoine Griezmann (Atletico Madrid)
Eden Hazard (Chelsea)
Zlatan Ibrahimovic (Free agent, Manchester United kwa 2016-17)
Andres Iniesta (Barcelona)
Harry Kane (Tottenham)
N’Golo Kante (Chelsea)
Toni Kroos (Real Madrid)
Robert Lewandowski (Bayern Munich)
Marcelo (Real Madrid)
Lionel Messi (Barcelona)
Luka Modric (Real Madrid)
Keylor Navas (Real Madrid)
Manuel Neuer (Bayern Munich)
Neymar (Paris Saint-Germain, Barcelona kwa 2016-17)
Sergio Ramos (Real Madrid)
Alexis Sanchez (Arsenal)
Luis Suarez (Barcelona)
Arturo Vidal (Bayern Munich)
Comments
Post a Comment